Star Tv

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mfululizo wa milipuko katika kambi ya jeshi katika Jamhuri ya Guinea ya Ikweta imeongezeka na kufikia watu 98.

Add a comment

Marekani imebadili uamuzi wa kulegeza kwa muda, vikwazo dhidi ya Bilionea wa Israel Dan Gertler, anayekabiliwa na tuhuma za ufisadi unaohusisaha biashara ya madini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Add a comment

Dunia inaadhimisha leo siku ya kimataifa ya Wanawake, kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ''Wanawake katika uongozi: Kufikia mustakabali ulio sawa katika dunia yenye janga la COVID-19.''

Add a comment

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amekamilisha ziara yake ya kihistoria nchini Iraq, iliyokuwa na nia ya kuleta matumaini katika taifa hilo lililo na wakristo wachache akiwa na ujumbe wa mshikamano, amani na kusameheana.

Add a comment

Boti ya uvuvi iliyo na bendera ya China imekwama katika miamba ya matumbawe nchini Mauritius, karibu kilomita 10 kutoka mji mkuu wa, Port Louis.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.