Polisi wa Urusi wameripotiwa kuwakamata mamia ya waandamanaji waliokuwa wakiandamana kupinga uamuzi wa Urusi wa kuongeza maelfu ya wanajeshi wa ziada kupigana nchini Ukraine.
Add a commentMkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea mjini New York huku viongozi wa dunia wakitoa mwito juhudi za haraka zifanyike kushughulikia ukosefu wa upatikanaji wa chakula wakati hofu ikiongezeka juu ya mavuno mabaya mwaka ujao kutokana na vita nchini Ukraine.
Add a commentMjumbe wa masuala ya hali ya hewa wa Marekani John Kerry ameonya dhidi ya kuwekeza katika miradi ya muda mrefu ya gesi barani Afrika huku nchi za eneo hilo baadhi zikitarajia kuibua ugunduzi wa hivi karibuni wa mafuta ya gesi zikipambana na jinsi ya kuimarisha maendeleo yao ya nishati safi.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden ametangaza janga hilo kuwa limekwisha nchini humo, Ambapo amebainisha kuwa "hata kama idadi ya Wamarekani ambao wamekufa kutokana na Covid inaendelea kuongezeka lakini janga hilo halipo nchini, ingawa bado tuna tatizo ila hali inaimarika kwa kasi".
Add a commentUingereza, viongozi wa dunia na wafalme kote ulimwenguni wanatarajiwa leo kuuaga na kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Malkia Elizabeth wa pili.
Add a commentWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.