Mwanamageuzi mkongwe wa Urusi ambaye pia ni mshauri wa Rais Vladimir Putin amejiuzulu katika wadhfa wake.
Add a commentBalozi wa China nchini Marekani anasema kuwa China haitatuma silaha na risasi kusaidia vita vya Urusi nchini Ukraine na kwamba Beijing "itafanya kila kitu ili kupunguza mzozo".
Add a commentBaraza la jiji la Mariupol limesema kuwa vikosi vya Urusi vimeshambulia kwa mabomu shule ambayo imehifadhi watu 400 waliokuwa wakipata hifadhi ndani ya shule hiyo siku ya Jumamosi.
Add a commentUkraine imekataa kusalimisha Mariupol, ikikataa ombi la Urusi la kuacha jiji hilo kufikia makataa ya saa 05:00 saa za Moscow (02:00 GMT)
Add a commentWizara ya Mambo ya nje ya Urusi imetoa taarifa ya kumuwekea vikwazo Rais wa Marekani Joe Biden.
Add a commentWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.