Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema maafisa wa Umoja wa Mataifa watapewa kibali cha kuzuru na kukagua kinu na kambi ya nyuklia ya Zaporizhzhia.
Add a commentMwanasheria mkuu wa zamani wa Mexico amekamatwa akihusishwa na kutoweka kwa wanafunzi 43 mwaka wa 2014.
Add a commentRais wa Urusi Vladimir Putin amesema nchi yake imejipanga kuimarisha uhusiano wake wa kina na wa kujiboresha" na Korea Kaskazini.
Add a commentWizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekanusha kuhusika kwa namna yeyote katika tukio la kumdunga kisu mwandishi Salman Rushdie.
Add a commentRais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameamuru raia wote ambao bado wanaishi katika maeneo ya mashariki mwa mkoa wa Donetsk chini ya udhibiti wa Ukraine kuhama kutokana na kuongezeka kwa mapigano.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.