Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea mjini New York huku viongozi wa dunia wakitoa mwito juhudi za haraka zifanyike kushughulikia ukosefu wa upatikanaji wa chakula wakati hofu ikiongezeka juu ya mavuno mabaya mwaka ujao kutokana na vita nchini Ukraine.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden ametangaza janga hilo kuwa limekwisha nchini humo, Ambapo amebainisha kuwa "hata kama idadi ya Wamarekani ambao wamekufa kutokana na Covid inaendelea kuongezeka lakini janga hilo halipo nchini, ingawa bado tuna tatizo ila hali inaimarika kwa kasi".
Add a commentUingereza, viongozi wa dunia na wafalme kote ulimwenguni wanatarajiwa leo kuuaga na kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Malkia Elizabeth wa pili.
Add a commentMjumbe wa masuala ya hali ya hewa wa Marekani John Kerry ameonya dhidi ya kuwekeza katika miradi ya muda mrefu ya gesi barani Afrika huku nchi za eneo hilo baadhi zikitarajia kuibua ugunduzi wa hivi karibuni wa mafuta ya gesi zikipambana na jinsi ya kuimarisha maendeleo yao ya nishati safi.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.