Rais wa Iran Hasan Rouhani amesema mauaji ya mwanasayansi wake wa masuala ya nyuklia hayatalemaza mpango wa nyuklia wa nchi hiyo.
Add a commentUmoja wa Falme za Kiarabu, (UAE) umesitisha utoaji viza kwa Wakenya na mataifa mengine 12 ya Kiislamu
Add a commentKorea Kaskazini imetahadharisha raia wake kusalia majumbani kutokana na hofu ya ''vumbi la njano'' linalopepea kutoka China kuwa linaweza kubeba virusi vya corona.
Add a commentRais Mteule nchini Marekani kupitia Chama cha Demokrats amemteua Anthony Blinken kuwa Waziri wa mambo ya nje.
Add a commentMwanaharakati mwenye asili ya Jamhuri wa Kidemokrasia ya Congo ametozwa faini ya Euro 1000 kwa kuondoa sanamu ya Afrika kutoka makumbusho moja ya Paris.
Add a commentVinyonga 74 wameokolewa na kupelekwa kwenye bustani ya wanyama ya nchini Austria baada ya kubainika wakiwa kwenye sanduk [ ... ]
Rais wa Marekani Joe Biden amemuonya kiongozi wa Urusi Vladimir Putin kuhusu kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo.
Jeshi la UPDF na polisi nchini Uganda wamewaruhusu wanasheria wa waliokuwa wa mgombea wa kiti cha urais Robert Kyagulany [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.