Star Tv

Polisi wa Urusi wameripotiwa kuwakamata mamia ya waandamanaji waliokuwa wakiandamana kupinga uamuzi wa Urusi wa kuongeza maelfu ya wanajeshi wa ziada kupigana nchini Ukraine.

Add a comment

Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea mjini New York huku viongozi wa dunia wakitoa mwito juhudi za haraka zifanyike kushughulikia ukosefu wa upatikanaji wa chakula wakati hofu ikiongezeka juu ya mavuno mabaya mwaka ujao kutokana na vita nchini Ukraine.

Add a comment

Mjumbe wa masuala ya hali ya hewa wa Marekani John Kerry ameonya dhidi ya kuwekeza katika miradi ya muda mrefu ya gesi barani Afrika huku nchi za eneo hilo baadhi zikitarajia kuibua ugunduzi wa hivi karibuni wa mafuta ya gesi zikipambana na jinsi ya kuimarisha maendeleo yao ya nishati safi.

Add a comment

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza janga hilo kuwa limekwisha nchini humo, Ambapo amebainisha kuwa "hata kama idadi ya Wamarekani ambao wamekufa kutokana na Covid inaendelea kuongezeka lakini janga hilo halipo nchini, ingawa bado tuna tatizo ila hali inaimarika kwa kasi".

Add a comment

Uingereza, viongozi wa dunia na wafalme kote ulimwenguni wanatarajiwa leo kuuaga na kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Malkia Elizabeth wa pili.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.