Rais wa Marekani Joe Biden alitia saini Sheria ya Kukodisha kwa Mkopo, iliyoundwa ili kurahisisha utaratibu wa kusambaza silaha kwa Ukraine.
Add a commentWaziri mkuu wa Uingereza amesema kufanya mazungumzo na Urusi ili kumaliza vita huenda suala hilo lisiwezekane.
Add a commentKiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, ametoa wito wa kusitishwa kwa vita nchini Ukraine na kufungua njia ya amani kupitia "majadiliano ya kweli".
Add a commentRais wa Ukraine Volodynyr Zelensky amesema taifa lake lingefanikiwa kumaliza vita yake na Urusi kama ingekuwa na silaha bora.
Add a commentBenki ya Dunia imesema inatarajia uchumi wa Ukraine utapungua kwa 45% mwaka huu kutokana na vita.
Add a commentWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.