Jeshi la Marekani limetangaza limefikia hatua ya kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliopelekwa nchini Iraq, ambapo idadi ya wanajeshi itashuka kutoka kwa wanajeshi 5,200 hadi 3,000 ifikapo mwisho wa mwezi huu.
Add a commentKiongozi wa upinzani nchini Belarus Maria Kolesnikova amechana paspoti yake ili kuzuia asifukuzwe nchini humo.
Add a commentMwanamume mmoja ambaye ana umri wa miaka zaidi ya 80 nchini Ufaransa, ameilipua sehemu ya nyumba yake wakati alipokuwa akijaribu kumuua nzi.
Add a commentKundi la Islamic State (IS), kupitia shirika lake la propaganda AMAQ, limekiri kuhusika na shambulio lililogharimu maisha ya afisa mmoja wa kikosi cha ulinzi wa taifa jana Jumapili huko Sousse, mji wa kitalii Mashariki mwa Tunisia.
Add a comment
Mafuriko yaliyotokea wiki hii nchini Afghanistan yamegharimu maisha ya karibu watu 160 na waokoaji wanaendelea kutafuta watu ambao wamekwama kwenye matope na chini ya vifusi vya nyumba zilizosombwa na maji, mamlaka imesema.
Vinyonga 74 wameokolewa na kupelekwa kwenye bustani ya wanyama ya nchini Austria baada ya kubainika wakiwa kwenye sanduk [ ... ]
Rais wa Marekani Joe Biden amemuonya kiongozi wa Urusi Vladimir Putin kuhusu kuingilia uchaguzi wa nchi hiyo.
Jeshi la UPDF na polisi nchini Uganda wamewaruhusu wanasheria wa waliokuwa wa mgombea wa kiti cha urais Robert Kyagulany [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.