Wakati visa vya maambukizi ya Monkeypox vikiendelea kushuka kwenye mataifa ya Ulaya pamoja na Marekani, wataalam wa sayansi wanasema kwamba sasa ni wakati wa kuweka kipaumbele cha upatikanaji wa chanjo dhidi ya maradhi hayo barani Afrika.
Add a commentMfalme Charles wa III wa Uingereza anakwenda Scotland leo kuungana na ndugu, jamaa na waombolezaji wengine ili kuhudhuria ibada ya kumwombea mama yake, Malkia Elizabeth wa II aliyeaga dunia wiki iliyopita.
Add a commentWaziri wa Mambo ya Nje wa Norway anayeshughulikia masuala ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa na nchi za Nordic, Mhe. Anne Beathe Tvinnereim amewasili nchini leo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia tarehe 6 - 8 Septemba 2022 na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula.
Add a commentMalkia Elizabeth II, aliyehudumu muda mrefu zaidi nchini Uingereza, amefariki akiwa Balmoral na amefariki akiwa na umri wa miaka 96, baada ya kutawala kwa miaka 70 nchini humo.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden amesema wafuasi wa ajenda ya Donald Trump ya "Make America Great Again" (Maga) ni tishio kwa demokrasia.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.