Star Tv

Rais wa Marekani Joe Biden alitia saini Sheria ya Kukodisha kwa Mkopo, iliyoundwa ili kurahisisha utaratibu wa kusambaza silaha kwa Ukraine.

Add a comment

Waziri mkuu wa Uingereza amesema kufanya mazungumzo na Urusi ili kumaliza vita huenda suala hilo lisiwezekane.

Add a comment

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, ametoa wito wa kusitishwa kwa vita nchini Ukraine na kufungua njia ya amani kupitia "majadiliano ya kweli".

Add a comment

Rais wa Ukraine Volodynyr Zelensky amesema taifa lake lingefanikiwa kumaliza vita yake na Urusi kama ingekuwa na silaha bora.

Add a comment

Benki ya Dunia imesema inatarajia uchumi wa Ukraine utapungua kwa 45% mwaka huu kutokana na vita.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.