Vikosi vya Urusi vimeelekeza nguvu zao kuu katika operesheni "ya uchokozi" inayolenga kuweka udhibiti kamili wa mikoa ya Donetsk na Luhansk, Mkuu wa jeshi la Ukraine amesema katika taarifa yake ya kila siku.
Add a commentUkraine imesema inajiandaa kwa vita vya kemikali vinavyoweza kutokea kwa usaidizi wa taifa la Marekani.
Add a commentRais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa wito kwa watu duniani kote kuandamana barabarani kama hatua ya kupinga uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Add a commentRais wa Marekani Joe Biden amesema Rais wa Urusi Vladimir Putin hafai kuendelea kubaki madarakani baada ya uvamizi wa Uruai nchini Ukraine.
Add a commentLicha ya changamoto katika baadhi ya mikoa nchini Ukraine, Urusi inaendelea kuushambulia mji mkuu wa Ukraine wa Kyiv kwa makombora.
Add a commentWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.