Star Tv

Wanasayansi nchini Afrika Kusini wametoa nakala yao ya chanjo ya Moderna ya Covid-19, hatua ambayo wanasema inaweza kusaidia kuongeza viwango vya chanjo barani Afrika.

Add a comment

Mwanaume mmoja nchini Kenya amekamatwa kwa kosa la kuiba biblia mbili katika duka moja kubwa jijini Nairobi.

Add a comment

Kundi la ujumbe kutoka Jumuiya ya kiuchumi ya mataifa ya Afrika magharibi Ecowas watazuru mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou, leo Jumatatu kutathmini hali ilivyo nchini humo.

Add a comment

Mwanafunzi wa chuo kikuu nchini India amewasilisha kesi dhidi ya shule yake katika wilaya ya Udupi akitaka aruhusiwe kuvaa hijab darasani.

Add a comment

Kundi la vijana nchini Nigeria, chini ya mwamvuli wa Bunge la Vijana wa Kaskazini, limetoa wito kwa mfanyabishara tajiri zaidi Afrika Aliko Dangote, viongozi wengine wa wafanyabiashara na wataalamu kuingilia kati uchaguzi wa rais wa 2023.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.