Star Tv

Rais wa Mali aliyeondolewa madarakani Ibrahim Boubacr Keita amefariki akiwa na umri wa miaka 76, familia yake na rafiki zake wamethibitisha juu ya kifo chake.

Add a comment

Takriban Wanyarwanda 100 ambao walikimbilia kisiwa kilichopo Ziwa Kivu katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ili kuepuka kupata chanjo za Covid wamerudishwa nchini kwao.

Add a comment

Mwendesha mashtaka wa umma nchini Uganda ameondoa kesi dhidi ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine.

Add a comment

Bomu limelipuka katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu huku kukiwa na ripoti kwamba watu kadhaa wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa bomu hilo.

Add a comment

Mataifa ya Afrika Magharibi yamekubaliana kuiwekea Mali vikwazo vikali ikiwemo kufunga mipaka yao, kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na kuweka vikwazo vikali vya kiuchumi.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.