Rais wa Mali aliyeondolewa madarakani Ibrahim Boubacr Keita amefariki akiwa na umri wa miaka 76, familia yake na rafiki zake wamethibitisha juu ya kifo chake.
Add a commentTakriban Wanyarwanda 100 ambao walikimbilia kisiwa kilichopo Ziwa Kivu katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ili kuepuka kupata chanjo za Covid wamerudishwa nchini kwao.
Add a commentMwendesha mashtaka wa umma nchini Uganda ameondoa kesi dhidi ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine.
Add a commentBomu limelipuka katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu huku kukiwa na ripoti kwamba watu kadhaa wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa bomu hilo.
Add a commentMataifa ya Afrika Magharibi yamekubaliana kuiwekea Mali vikwazo vikali ikiwemo kufunga mipaka yao, kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na kuweka vikwazo vikali vya kiuchumi.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.