Star Tv

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Desmond Tutu umewasili katika Kanisa Kuu la Mtakatifu George mjini Cape Town ambapo utalala kwa siku mbili kwa heshima ya kitaifa.

Add a comment

Waziri Mkuu wa Somalia amesema anaviamuru vikosi vyote vya usalama kuchukua amri moja kwa moja kutoka kwake na sio kutoka kwa Rais.

Add a comment

Aliyekuwa msaidizi mkuu wa wafanyakazi wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi, Vital Kamerhe, amerejea nyumbani kwake baada ya kuachiliwa kwa muda.

Add a comment

Vifaru 24 wameuawa nchini Afrika Kusini katika takriban wiki mbili, wizara ya mazingira imethibitisha.

Add a comment

Jeshi la Uganda limeanzisha mashambulizi ya pamoja ya anga na ardhini dhidi ya kundi la waasi la Allied Democratic Forces ADF, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.