Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Desmond Tutu umewasili katika Kanisa Kuu la Mtakatifu George mjini Cape Town ambapo utalala kwa siku mbili kwa heshima ya kitaifa.
Add a commentWaziri Mkuu wa Somalia amesema anaviamuru vikosi vyote vya usalama kuchukua amri moja kwa moja kutoka kwake na sio kutoka kwa Rais.
Add a commentAliyekuwa msaidizi mkuu wa wafanyakazi wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi, Vital Kamerhe, amerejea nyumbani kwake baada ya kuachiliwa kwa muda.
Add a commentVifaru 24 wameuawa nchini Afrika Kusini katika takriban wiki mbili, wizara ya mazingira imethibitisha.
Add a commentJeshi la Uganda limeanzisha mashambulizi ya pamoja ya anga na ardhini dhidi ya kundi la waasi la Allied Democratic Forces ADF, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.