Vifaru 24 wameuawa nchini Afrika Kusini katika takriban wiki mbili, wizara ya mazingira imethibitisha.
Add a commentAliyekuwa msaidizi mkuu wa wafanyakazi wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi, Vital Kamerhe, amerejea nyumbani kwake baada ya kuachiliwa kwa muda.
Add a commentMahakama ya rufaa ya Botswana imeidhinisha uamuzi wa mwaka 2019 wa kutowabagua wapenzi wa jinsia moja nchini humo.
Add a commentJeshi la Uganda limeanzisha mashambulizi ya pamoja ya anga na ardhini dhidi ya kundi la waasi la Allied Democratic Forces ADF, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Add a commentPolisi nchini Somalia wamethibitisha vifo vya raia katika bomu lililotegwa ndani ya gari katika mji mkuu Mogadishu, televisheni ya taifa imeripoti.
Add a commentWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa us [ ... ]
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum [ ... ]
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.