Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhesimiwa Dk.Hussein Ali Mwinyi, awasili jijini Luanda Angola.
Add a commentMahakama ya katiba nchini Angola imetupilia mbali madai ya chama cha upinzani UNITA kuyafuta matokeo ya uchaguzi yaliyokipa ushindi chama tawala cha MPLA.
Add a comment#BreakingNews
Mgombea Urais wa Chama Cha UDA William Ruto ametangazwa kushinda kiti cha Urais kwa kuibuka kidedea kwa asilimia 50.49% ya kura ambapo aliyekuwa Mpinzani wake Raila Odinga wa Chama ODM amepata 48.85% ya Kura.
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud ameahidi kutokomeza kundi la Al Shabab katika taarifa yake ya kwanza kwa taifa tangu wanamgambo hao wa Kiislamu kufanya uvamizi mbaya wa saa 30 kwenye hoteli moja mjini Mogadishu.
Add a commentWaandamanaji katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshambulia na kuharibu kambi ya vikosi vya Umoja wa Mataifa kushinika ziondoke nchini humo.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]
Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.