Star Tv

Jenerali mwandamizi aliyeongoza mapinduzi ya kijeshi hivi karibuni nchini Sudan, Abdel-Fattah Burhan, amejiteua tena kuongoza baraza tawala la mpito, ikiwa ni hatua inayoashiria nia yake ya kuimarisha udhibiti madarakani.

Add a comment

Vikosi vya usalama nchini Sudan vimerusha vitoa machozi kwa waandamanaji ambao wanapigania demokrasia katika mji mkuu wa Khartoum.

Add a comment

Nyumba ya Waziri mkuu wa Sudan Abdalla Hamdok imezingirwa na wanajeshi.

Add a comment

Polisi wa Kiislamu katika jimbo la Kano inayofahamika kama Hisbah imemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 26 kwa jina Aliyu Na Idris ambaye taarifa yake imekuwa ikienea kwenye mitandao ya habari ya kijamii wikiendi iliyopita kwa kutangaza kuwa anataka anunuliwe kutokana na "umasikini".

Add a comment

Serikali ya Nigeria katika jimbo la Kwara imesema imemsimamisha mkuu wa shule ya Quran katika jimbo hilo baada ya video kusambaa ikionesha makundi ya wanafunzi wakiwa wanaadhibiwa na wenzao kwa kutokuwa na nidhamu.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.