Mwanafunzi wa chuo kikuu nchini India amewasilisha kesi dhidi ya shule yake katika wilaya ya Udupi akitaka aruhusiwe kuvaa hijab darasani.
Kaka yake, Mubarak Faruk, aliwasilisha kesi kwa niaba ya dada Resham Faruk na wanaamini kuwa kuvaa hijab ni haki yao ya kikatiba.
Rais wa bodi ya chuo kikuu, ambaye alikutana na waandamanaji waliokuwa wakipinga uvaaji wa hijab, alisistiza kuwa wanafunzi hawapaswi kuruhusiwa kuvaa kuingia darasani.
#ChanzoBBCSwahili