Star Tv

Umoja wa Mataifa umezitaka mamlaka nchini Libya kuagiza uchunguzi "haraka, huru na wa uwazi" kuhusu mauaji ya wahamiaji 15 karibu na mji wa pwani wa Sabratha.

Miili hiyo ilipatikana siku ya Ijumaa, baadhi ikiwa imechomeka ndani ya boti iliyoungua.

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya umesema mauaji hayo yanakisiwa kusababishwa na mapigano kati ya magenge hasimu ya wasafirishaji haramu wa binadamu na inataka wahusika wachukuliwe hatua za kisheria.

Aidha kwa muda mrefu Libya imekuwa njia kuu ya usafirishaji wa wahamiaji kwenda Ulaya.

#ChanzoBBC

Latest News

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Urusi Kuchagiza Maendeleo Afrika kupitia Nishati ya Nuklia na Madini ya Urani
12 Aug 2023 10:07 - Kisali Shombe

ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.