Star Tv

Watu wenye silaha wamevamia hospitali mbili katika mashambulizi tofauti kaskazini-magharibi na zilizopo katikati mwa Nigeria.

Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) wamesema watu wenye silaha walishambulia kituo cha afya katika kata ya Birnin Magaji katika wilaya ya Gummi kwenye jimbo la Zamfara siku ya Jumatatu, na kumteka nyara mtu mmoja.

MSF kupitia ukurasa wake wa twitter imebainisha kwamba kundi lililojihami kwa silaha lilivamia kituo cha afya na kumteka nyara mzee mmoja mfanyakazi wa uuguzi na baadaye waliharibu dawa na chakula cha matibabu.

Madaktari hao kutoka shirika la misaada linasaidia kuendesha sehemu ya kituo kinachosaidia watoto wenye utapiamlo nchini humo.

Latest News

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Urusi Kuchagiza Maendeleo Afrika kupitia Nishati ya Nuklia na Madini ya Urani
12 Aug 2023 10:07 - Kisali Shombe

ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.