Star Tv

Mahakama ya katiba nchini Angola imetupilia mbali madai ya chama cha upinzani UNITA kuyafuta matokeo ya uchaguzi yaliyokipa ushindi chama tawala cha MPLA.

UNITA ilipeleka malalamiko yake mahakamani baada ya tume ya uchaguzi wiki iliyopita kumtangaza rais Joao Lourenco kushinda muhula wa pili madarakani, ikitoa hija kwamba tume hiyo haiku-kishirikisha ipasavyo katika hatua za mwisho za kuidhinisha matokeo. Hata hivyo mahakama ya katiba Angola imesema chama cha UNITA kinachoongozwa na Adalberto Costa Junior hakikukidhi matakwa yaliyohitajika ili kuwezesha matokeo hayo kufutwa. Matokeo ya tume ya uchaguzi yaliyotangazwa wiki iliyopita yalikipa ushindi chama cha MPLA kwa asilimia 51.17 ya kura na UNITA ikapata asilimia 43.9 ya kura.

CHANZO: DW SWAHILI

Latest News

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Urusi Kuchagiza Maendeleo Afrika kupitia Nishati ya Nuklia na Madini ya Urani
12 Aug 2023 10:07 - Kisali Shombe

ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.