Star Tv

Watu wenye silaha wamevamia hospitali mbili katika mashambulizi tofauti kaskazini-magharibi na zilizopo katikati mwa Nigeria.

Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) wamesema watu wenye silaha walishambulia kituo cha afya katika kata ya Birnin Magaji katika wilaya ya Gummi kwenye jimbo la Zamfara siku ya Jumatatu, na kumteka nyara mtu mmoja.

MSF kupitia ukurasa wake wa twitter imebainisha kwamba kundi lililojihami kwa silaha lilivamia kituo cha afya na kumteka nyara mzee mmoja mfanyakazi wa uuguzi na baadaye waliharibu dawa na chakula cha matibabu.

Madaktari hao kutoka shirika la misaada linasaidia kuendesha sehemu ya kituo kinachosaidia watoto wenye utapiamlo nchini humo.

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.