Star Tv

Umoja wa Mataifa umezitaka mamlaka nchini Libya kuagiza uchunguzi "haraka, huru na wa uwazi" kuhusu mauaji ya wahamiaji 15 karibu na mji wa pwani wa Sabratha.

Miili hiyo ilipatikana siku ya Ijumaa, baadhi ikiwa imechomeka ndani ya boti iliyoungua.

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya umesema mauaji hayo yanakisiwa kusababishwa na mapigano kati ya magenge hasimu ya wasafirishaji haramu wa binadamu na inataka wahusika wachukuliwe hatua za kisheria.

Aidha kwa muda mrefu Libya imekuwa njia kuu ya usafirishaji wa wahamiaji kwenda Ulaya.

#ChanzoBBC

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.