Star Tv

ATLETICO Madrid wamelaani unyanyasaji wa ubaguzi wa rangi unaoelekezwa kwa mshambuliaji wa Real Madrid Vinicius Junior na kuahidi kufukuzwa mara moja kwa wanachama waliohusika.

Sakata hilo limezua mjadala baada ya wakala wa soka Pedro Bravo kumtaka winga huyo wa Real Madrid kuacha kucheza kama nyani ikiwa ndio mtindo wake wa ushambuliaji, aidha Vinicius aliapa kuendelea kushangilia kwa njia hiyo na anaungwa mkono na wachezaji wenzake wakiwemo raia wenzake Neymar Pele na Gabriel Jesus. Lakini bado alilengwa na baadhi ya mashabiki wa Atletico kabla ya mechi ya jumapili. Atletico wamechelewa kuzungumzia unyanyasaji aliofanyiwa na mshambuliaji huyo na kutoa ushirikiano wao kwa polisi.

Latest News

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Urusi Kuchagiza Maendeleo Afrika kupitia Nishati ya Nuklia na Madini ya Urani
12 Aug 2023 10:07 - Kisali Shombe

ROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nch [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.