Star Tv

ATLETICO Madrid wamelaani unyanyasaji wa ubaguzi wa rangi unaoelekezwa kwa mshambuliaji wa Real Madrid Vinicius Junior na kuahidi kufukuzwa mara moja kwa wanachama waliohusika.

Sakata hilo limezua mjadala baada ya wakala wa soka Pedro Bravo kumtaka winga huyo wa Real Madrid kuacha kucheza kama nyani ikiwa ndio mtindo wake wa ushambuliaji, aidha Vinicius aliapa kuendelea kushangilia kwa njia hiyo na anaungwa mkono na wachezaji wenzake wakiwemo raia wenzake Neymar Pele na Gabriel Jesus. Lakini bado alilengwa na baadhi ya mashabiki wa Atletico kabla ya mechi ya jumapili. Atletico wamechelewa kuzungumzia unyanyasaji aliofanyiwa na mshambuliaji huyo na kutoa ushirikiano wao kwa polisi.

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.