Star Tv

Mshambuliaji mashuhuri wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani Gerd Mueller alifariki jana akiwa na umri wa miaka 75.

Taarifa hizi zimethibitishwa na klabu yake ya zamani ya Bayern Munich. Rais wa klabu hiyo Herbert Heiner alisema ni siku ya huzuni kwao na kumtaja Mueller kuwa ni mshambuliaji bora kabisa kuwahi kutokea katika klabu hiyo. Enzi ambazo alikuwa akiwika miaka ya 1960 na 1970, Mueller aliweka rekodi ya kuifungia timu yake ya Bayern katika ligi ya Ujerumani mabao 365, pamoja na kuifungia timu ya taifa ya iliyokuwa Ujerumani Magharibi mara 68 katika mechi 62 za kimataifa.

CHANZO: DW Swahili

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.