Star Tv

Klabu ya Real Madrid imeendeleza rekodi yake ya ushindi msimu huu baada ya kuifunga klabu ya Atletico Madrid katika mchezo wa Derby ya jiji la Madrid.

Ushindi huo umeifanya klabu hiyo iendelee kubaki nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi hiyo iki fuatiwa na mahasimu wao Barcelona huku ikiwa imeweza kushinda mechi zote sita za mwanzoni mwa msimu huu. Klabu hiyo inayonolewa na Carlo Ancelotti imeweza kurudia rekodi yake ya kushinda mechi zote sita za mwanzoni mwa msimu ambapo kwa mara ya mwisho ilifanya hivyo msimu wa mwaka 1987-88. kwa upande mwingine mechi hiyo ilitawaliwa na nyimbo zilizoonekana kuwa za kibaguzi zinazomlenga mchezaji wa Madrid Vinicius Jr zikikosoa aina yake ya ushangiliaji baada ya kufunga goli pia baadhi ya mashabiki walimtupia uchafu mchezaji huyo.

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.