Shirika la ugavi wa umeme TANESCO Mkoani Kagera limewaonya wajasiriamali wanaotumia umeme kwa njia za wizi ili kuutumia katika mitambo yao ya kutega senene hususani nyakati za usiku.
Add a commentMAUAJI YA KUKATA MAKOROMEO:Washtakiwa wahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Mahakama kuu kanda ya Bukoba imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu Watatu kwa kuhusika na mauaji ya wakazi wanne wa kata ya Katoma wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera mwaka 2015.
Add a commentRead more: Mauaji ya kukata makoromeo, washtakiwa wahukumiwa. Bukoba
NEC imesema inatumia fedha za ndani katika zoezi la maboresho ya Daftari la kudumu la wapiga kura ili kuifanya Tume hiyo kuwa huru na kuwajibika bila kuingiliwa na wahisani katika mipango na mchakato wa uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Add a commentMadiwani halmashauri ya wilaya ya bariadi mkoani Simiyu wameilalamikia serikali kuhusu zao la pamba kukosa soko la uhakika na hivyo kumdidimiza mkulima.
Add a commentZaidi ya asilimia 80 ya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano, wamepatiwa chanjo ya Surua Rubella katika halmashauri ya Wilaya ya Singida kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi machi mwaka huu.
Add a commentWananchi katika kjiji cha Kisungamile kata ya matai wilayani Kalambo mkoani Rukwa wameiomba serikali kufanya marekebisho ya miundombinu ya maji ambayo imeharibiwa na mifugo na hivyo kupelekea kukosekana kwa huduma hiyo muhimu kwa zaidi ya mwezi mmoja na hivyo kulazimika kutumia maji ya visima ambayo ni hatari kwa afya zao.
Add a commentMahakama kuu kanda ya Musoma mkoani Mara imeanza kusikiliza kesi 15 za mauaji ya kukusudia na yasiyo ya kukusudia toka kwa watuhumiwa mbali mbali waliopo ndani ya magereza kwa muda wa wiki moja zikiwemo kesi nane toka mahakama kuu kanda ya Mwanza zilizokuwa zimeelekezwa huko ili ziweze kusikilizwa na kutolewa maamuzi.
Add a commentRead more: Mahakama kuu Musoma yaanza kusikiliza kesi za mauaji kwa mara ya kwanza..
Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Uvinza imetoa onyo kwa wajumbe wa kamati ya usimamizi wa mpango wa TASAF Ngazi ya vijiji CMC kuchukua pesa zinazotolewa za kuwalenga
wanufaika wa TASAF na kuzitumia kinyemela na kuahidi kuchuku hatua kali za kinidhamu na Kisheria kwa mtu yeyote atakaye bainika kufanya hivyo.
Bodi ya tumbaku nchini,TTB imetoa onyo kwa watendaji wa makampuni ya ununuzi wa tumbaku wanaokwenda kinyume na sheria kanuni na taratibu za masoko ya tumbaku.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.