Star Tv

Shirika la ugavi wa umeme TANESCO Mkoani Kagera limewaonya wajasiriamali wanaotumia umeme kwa njia za wizi ili kuutumia katika mitambo yao ya kutega senene  hususani nyakati za usiku.

Add a comment

MAUAJI YA KUKATA MAKOROMEO:Washtakiwa wahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Mahakama kuu kanda ya Bukoba  imewahukumu  kunyongwa hadi kufa watu Watatu   kwa kuhusika na mauaji ya wakazi  wanne wa kata ya Katoma  wilaya ya Bukoba  Mkoani Kagera  mwaka 2015.

Add a comment

NEC imesema inatumia fedha za ndani katika zoezi la maboresho ya Daftari la kudumu la wapiga kura ili kuifanya Tume hiyo kuwa huru na kuwajibika bila kuingiliwa na wahisani katika mipango na mchakato wa uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

Add a comment

Madiwani halmashauri ya wilaya ya bariadi mkoani Simiyu wameilalamikia serikali kuhusu zao la pamba kukosa soko la uhakika na hivyo kumdidimiza mkulima.

Add a comment

Zaidi ya asilimia 80 ya  watoto  wenye umri wa chini ya miaka mitano, wamepatiwa chanjo ya  Surua Rubella  katika halmashauri ya Wilaya ya Singida kwa kipindi cha kuanzia Januari  hadi  machi mwaka huu.

Add a comment

Wananchi  katika   kjiji cha  Kisungamile  kata  ya  matai   wilayani  Kalambo  mkoani  Rukwa  wameiomba  serikali  kufanya   marekebisho  ya   miundombinu  ya  maji  ambayo  imeharibiwa  na mifugo  na  hivyo  kupelekea  kukosekana kwa  huduma hiyo muhimu    kwa zaidi  ya mwezi  mmoja  na  hivyo  kulazimika  kutumia  maji  ya  visima  ambayo ni  hatari  kwa  afya  zao.

Add a comment

Mahakama kuu kanda ya Musoma mkoani Mara imeanza kusikiliza kesi 15 za mauaji ya kukusudia na yasiyo ya kukusudia toka kwa watuhumiwa mbali mbali waliopo ndani ya magereza kwa muda wa wiki moja zikiwemo kesi nane toka mahakama kuu kanda ya Mwanza zilizokuwa zimeelekezwa huko ili ziweze kusikilizwa na kutolewa maamuzi.

Add a comment

Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Uvinza imetoa onyo kwa wajumbe wa kamati ya usimamizi wa mpango wa TASAF Ngazi ya vijiji CMC kuchukua pesa zinazotolewa za kuwalenga
wanufaika wa TASAF na kuzitumia kinyemela na kuahidi kuchuku hatua kali za kinidhamu na Kisheria kwa mtu yeyote atakaye bainika kufanya hivyo.

Add a comment

Bodi ya tumbaku nchini,TTB imetoa onyo kwa watendaji  wa makampuni ya ununuzi wa tumbaku wanaokwenda kinyume na sheria kanuni na taratibu za masoko  ya tumbaku.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.