Star Tv

Shirika la World Vision kanda ya Kagera limekamilisha ujenzi wa matundu nane ya vyoo,madarasa matatu ya shule hiyo , ofisi ya walimu pamoja na wodi ya mama na Mtoto katika zahanati ya kijiji cha Kiruruma kwa jumla ya thamani ya shilingi milioni mia moja sitini na tisa na kuzinduliwa na Mkuu wa wilaya ya Karagwe Godfrey Mheluka huku meneja mradi wa World Vision.

Awali, wanafunzi zaidi ya mia nne na sabini wa shule ya Msingi Kakonje wilayani Karagwe mkoani Kagera wanatumia matundu manne ya vyoo na hivyo kujistiri katika maeneo yasiyo rasmi hali inayohatarisha mlipuko wa magonjwa miongoni mwa walimu na wanafunzi wa shule hiyo.Kwa wanafunzi wa kiume ni ahueni kidogo ukilinganisha na wale wa kike ambao hujistiri kwa kuvizia kutokana na vyoo hivyo vichache kutokuwa na milango na hata ubora na hivyo kusababisha uwezekano mkubwa wa magonjwa ya mlipuko
Victor Nsiima anawataka wakazi wa maeneo hayo kuendelea na moyo wa kujitolea ili kuondoa changamoto nyingi zinazoikabili jamii hususani zilizopo katika sekta ya elimu

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.