Star Tv

Madiwani halmashauri ya wilaya ya bariadi mkoani Simiyu wameilalamikia serikali kuhusu zao la pamba kukosa soko la uhakika na hivyo kumdidimiza mkulima.

malalamiko hayo wameyatoa katika mkutano wa baraza la madiwani wa kujadili na kupitisha taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo ngazi za kata.

Wanaona kukosekana kwa soko la uhakika la zao la pamba kunamsababishia hasara mkulima aliyotumia wakati wa kilimo jambo ambalo linakuwa kinyume na kauli mbiu ya ‘Pamba ni Dhahabu Nyeupe.

Huku bi Penina mponeja diwani viti maalumu kutoka kata ya Dutwa ameitaka serikali kuchukua hatua kwa wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la machinga kulangua pamba ya wakulima kwa bei tofauti na ile elekezi.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.