Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni mojawapo ya rasilimali zetu zenye thamani zaidi na ni muhimu kabisa kwa uhai duniani, na kwa uzalishaji wa chakula.
Add a commentMkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhudhuriwa na zaidi ya Wakuu wa Nchi 40, wawakilishi wa serikali pamoja na watu mashuhuri wa ndani na wa kimataifa na wajumbe wa mkutano huo.
Add a commentROSATOM, taasisi ya nishati ya nyuklia ya serikali ya Urusi ambayo iliwaalika zaidi ya waandishi wa habari 15 kutoka nchi saba zilizochaguliwa za Kiafrika kuwa sehemu ya mkutano wa pili wa kilele wa masuala ya kiuchumi na kibinadamu uliojulikana kwa jina la Urusi na Afrika ambao ulianza Julai 27-28, 2023 huko St Petersburg.
Add a commentRais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Ziara ya Kiserikali nchini Afrika Kusini. Sherehe ya kuwakaribisha viongozi hao itafanyika Jumanne asubuhi katika Majengo ya Muungano huko Pretoria kabla ya Mkutano wa 15 wa BRICS utakaofanyika tarehe 22 - 24 Agosti 2023.
Add a commentMakamu wa Rais wa Marekani Bi, Kamala Harris, amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Makamu wa Rais wa Tanzania Dk, Philipo Mpango.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.