Star Tv

Bodi ya tumbaku nchini,TTB imetoa onyo kwa watendaji  wa makampuni ya ununuzi wa tumbaku wanaokwenda kinyume na sheria kanuni na taratibu za masoko  ya tumbaku.

Masoko ambayo yanayoendelea ambayo wakulima walikuwa wanayalalamikia na bodi kuchukua hatua. Wakulima wanapongeza hatua iliyofanywa na Serikali kupitia Bodi ya tumbaku. Tangu masoko yaanze karibu mwezi uliopita jumla ya kilo milioni ishirini za tumbaku kati ya kilo milioni sitini na moja ,zimenunuliwa na makampuni ya ununuzi wa tumbaku zenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni sitini.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.