Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (mb) akizungumza na Wamiliki na viongozi wa vyombo vya habari katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Es salaam kuhusu Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.