Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli amewatembelea majeruhi 43 wa ajali ya moto iliyotokea Agosti kumi mkoani Morogoro waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kuwapatia kila mmoja Shilingili 500,000 kwa ajili ya matumizi mbalimbali.
Add a commentRead more: Rais John Magufuli atembelea majeruhi wa ajali ya moto Muhimbili.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekerwa na kitendo cha Mamlaka ya Maji wilayani Maswa kupandisha bili ya maji kutoka sh 5,000 hadi sh. 28,000 jambo ambalo amesema halikubaliki na amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka akutane na wahusika leo.
Add a commentRead more: Waziri Mkuu akerwa na upandishwaji wa bili ya maji, Maswa.
Asasi Isiyo ya kiserikali inayojihusisha na kupinga Ukatili kwa wanawake na watoto mkoani Kigoma KIWODE ikishirikina na Vyombo vya Dola na wadau wengine imezindua na kuanza kutekeleza mpango wa kupinga na kukabIlina na vitendo vya ukatili na ubakaji vinavyotajwa kuanza kuota mizizi ndani ya manispaa ya Kigoma Ujiji.
Add a commentMahakama ya hakimu mkazi Tarime mkoani Mara imewahukumu kifungo cha miaka 18 jela ama kulipa faini ya shilling million 315 raia kutoka nchini China kwa kukutwa na viroba tisa vyenye mchanga na boksi moja la madini wakisafirisha katika gari namba KBW 515 Toyota land Cruiser.
Add a commentRead more: Raia kutoka nchini China watumikia kifungo cha miaka 18 au faini milioni 315
Serikali wilayani Chunya mkoani Mbeya imethibitisha kuwepo kwa vitendo vya udhalilishaji na ukatili dhidi ya wanawake wakulima wawapo mashambani vinavyotekelezwa na wafugaji.
Add a commentRead more: Vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wanawake vyaibuka Chunya.
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imemuagiza injinia wa Mamlaka ya Barabara mijini na vijijini Tarula kumsimamisha kazi na kukatisha mkataba wa Ujenzi kampuni ya Didia Inayojenga Daraja la Mto Nhobola baada ya kushindwa kazi.
Add a commentRead more: Mkandarasi wa Didia anyang'anywa zabuni kwa kushindwa kumaliza Daraja
Read more: Majenerali wa Sudan na upinzani kukutana katika saa 48
Serikali inaangalia njia mbadala ya ununuzi wa magari yake kwa kwenda moja kwa moja kiwandani bila kupitia kwa mawakala kutokana na gharama kuwa juu na hazitabiliki.
Add a commentRead more: Serikali kununua magari yake moja kwa moja kiwandani bila kupitia kwa mawakala
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga ametembelea na kujionea maandalizi ya Maadhimisho ya 27 ya sikukuu ya wakulima maarufu kama (Nane Nane) yenye lengo la kuwatambua na kuwaenzi Wadau Wakuu wa Sekta ya Kilimo ambao ni Wakulima, Wafugaji, Wavuvi, Wanaushirika, Wasindikaji wa mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na maliasili kwa mchango wao mkubwa wanaoutoa katika kuendeleza uchumi wa nchi yetu.
Add a commentRead more: Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula, Watakiwa kutoa elimu ya mifuko, waziri Hasunga.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.