Star Tv

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua mradi wa ujenzi na ukarabati mkubwa wa kituo cha afya cha kata ya Koromije wilayani Misungwi na amewahakikishia wananchi kuwa Serikali imejipanga vizuri kuboresha huduma za afya.

Add a comment

.

Watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kufuatia majibizano ya risasi baina yao na polisi   wakati wakiwapeleka askari hao ili kuwaonesha katika eneo  la maficho mahala ambapowalikuwa wakitunzia silaha mbalimbali walizokuwa wakizitumia katika matukio kadhaa ya uhalifu  katika eneo la Kiraka Cheusi nje kidogo ya barabara  kuu ya Nyakanazi- Rusumo wilayani Biharamulo mkoani Kagera.

Add a comment


CHAMA cha kusafirisha viumbe pori hai nje ya nchi TWEA kimemuomba Rais Dkt; John Pombe Magufuli kuingilia kati sakata la kuzuiliwa kwa
biashara hiyo ili  kuendelea na biashara baada ya kuzuiliwa na aliekuwa Waziri wa maliasili na utalii mwaka 2016 Prof Jumanne Maghembe.

Add a comment

Spika wa bunge la jamuhuri ya Tanzania ndugu, Job Ndugai amewataka watanzania kuonesha uzalendo kwa kutumia ndege za shirika la ndege la Tanzania kuonesha uzalendo na kujivunia kodi yao iliyonunua ndege hizo kwa Mataifa mengine.

Add a comment

Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amezindua soko kuu la Madini ya Dhahabu Mkoa wa Geita,huku akisisitiza watumishi wa serikali wakiwemo wa sekta ya madini kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa kuhakikisha wanaondoa vikwazo vinavyoweza kujitokeza katika uendeshaji wa soko hilo.

Add a comment

Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF profesa Ibrahim Lipumba ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho kuendelea kuunga mkono CUF kwasababu wamekijenga kwa muda mrefu kwa kudai haki katika nyanja mbalimbali ikiwemo demokrasia ya kweli na kupata katiba mpya.

Profesa Lipumba ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimio ya mkutano mkuu uliyofanyika wiki iliyopita.

Amewataka wanachama wa chama wanaohama chama hicho kutofanya vitendo vya kijinai kwa kuchoma moto bendera ya CUF pamoja na kubadilisha rangi ya ofisi za chama hicho.

Add a comment

 

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe ameshauri vyombo vya kutoa haki viweke mikakati ya namna ya

kupunguza mahabusu, akidai kwamba vyombo hivyo kama vitapitia vizuri makosa ya mahabusu hao, itagundua kuwa nusu ya wafungwa walioko

magerezani hawakustahili kuwepo huko. 

Add a comment

 
Aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Uhusiano wa Umma, wa Chama
cha Wananchi CUF Mbarara Maharagande amezungumzia mali za chama hicho na kiasi ambacho kimeshatumika.
Add a comment

Fuvu la kichwa na mabaki ya mwili wa mwanafunzi Alex Pastory wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Nyugwa wilayani Nyang’hwale mkoani Geita kimekutwa kwenye shamba la mwananchi mmoja sababu za kifo chake zikiwa bado hazijafahamika.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.