Star Tv

 

 

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Magreth Sinkamba mkazi wa kijiji cha Mpui Wilaya ya Momba Mkoani Songwe anashikiliwa na Jeshi la polisi kwa tuhuma za kumuua Mumewe kwa kipigo....

Imezoeleka katika jamii wanawake ndio wamekuwa wakipigwa na waume zao ama na wanaume kutokana na sababu  mbalimbali ikiwemo ugomvi wa kifamilia na wivu wa kimapenzi,  lakini katika tukio hili hali ni tofauti mwanamke amempiga Mumewe na kusababisha kifo.

 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna msaidizi wa Polisi Mathias Nyange amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Matukio ya namna hiyo yamekuwa yakitokea lakini kuna usiri kwa wanaume kujitokeza Nyange anatoa Wito kwa Wanaume sasa kuvunja Ukimya pale wanapokutwa na maswahibu hayo.

 

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.