Star Tv

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afungua mashindano ya AFCON U17 na kutangaza kuwa kuanzia leo Watanzania wataingia bila kulipia.

Add a comment

Shehena ya samaki aina ya dagaa zinazokadiliwa kufikia tani elfu kumi na sita zenye thamani ya zaidi ya shiring million 38 zimekamatwa na vikosi vya udhibiti rasilimali za ziwa Victoria mkoani Mara zikiwa ndani za Boti mbili za Mv Ing’ang’a zikitoroshwa kwenda nchi jirani ya Kenya kuuzwa.

Add a comment

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mikutano ya kipupwe(Spring Meetings)  ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) inayofanyika mjini Washington DC, Marekani.

Add a comment

Gari Moshi ya   mizigo  iliyobeba shehena  ya ngano iliyokuwa inatokea  Dar es Salaam kuelekea mikoa ya kanda ya ziwa mpaka Kampala nchini Uganda  imepata ajali  usiku wa kuamkia Aprili  kumi na tatu  katika eneo  la  Kola Manispaa ya Morogoro na kusababisha adha  kubwa kwa  wasafiri wanaotumia  njia hiyo kutokana na reli ya njia hiyo  kung’oka kabisa.

Add a comment

 

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali na Watanzania wote wataendelea kumuenzi shujaa wao, Marehemu Edward Moringe Sokoine.

Add a comment

KUKITHIRI kwa tabia ya ulevi wakupindukia kwa baadhi ya wazazi na walevi mjini Iringa, kumetajwa kuathiri kundi la watoto na kusababisha idadi kubwa ya watoto kuishi katika mazingira hatarishi, baada ya wazazi wao kutozingatia mahitaji ya familia zao. Add a comment

Mahakama kuu kanda ya Musoma mkoani Mara imepokea kesi zaidi ya mia mbili zikiwemo mpya hamsini ambazo zimefunguliwa na wananchi waliokuwa wamekosa fursa ya kwenda mahakama kuu ya kanda ya ziwa iliyopo jijini Mwanza kutokana na kutokuwa na fedha na gharama za kujikimu.

Add a comment

Katika  jitihada  za kukabiliana  na  uvamizi  wa  tembo  kwenye  mashamba  ya   wananchi    mkoani  Rukwa, wakala  wa    hidfadhi za mistu  wilayani  kalambo  wameanzisha  mradi  wa  ufugaji  nyuki  ambao  utasaidia   wananchi  kujikwamua  na  hali  ya  kiuchumi  sambamba  na kufukuza  tembo kwenye mashamba   yao.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 06 Aprili, 2019 amezindua mradi wa njia ya umeme ya msongo wa KV 220 kutoka Makambako hadi Songea na ameweka jiwe lamsingi la ujenzi wa kituo cha mabasi na barabara za lami katika Manispaaya Songea Mkoani Ruvuma.Sherehe za uzinduzi wa mradi wa njia ya umeme zimefanyika katika kituo cha kupoza na kusambaza umeme kilichopo Unangwa Mjini Songea na zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mke wa Rais Mhe. Mama Janeth Magufuli, Balozi wa Sweden hapa nchini Mhe. Anders Sjöberg, Mawaziri, Wabunge na viongozi wa Mkoa wa Ruvuma wakiongozwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Godfrey Zambi.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.