Star Tv

Serikali ya Shirikisho la Ujerumani kupitia Mpango wa Kusaidia Majeshi Rafiki imekubali kuongeza kipindi cha kutoa misaada kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa miaka 4 zaidi kuanzia mwaka 2021 hadi 2024 ambapo pamoja na mambo mengine itajenga Hospitali kubwa ya Kijeshi yenye kiwango cha “Level 4” Mkoani Dodoma

Add a comment

Serikali ya Ujerumani kupitia Benki yake ya  Maendeleo (KfW), imeipatia Tanzania ruzuku ya Euro milioni 127.7, sawa na sh. bilioni 330, kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria katika mkoa wa Simiyu.

Add a comment

Wizara ya afya nchini imeitaka halmashauri ya wilaya ya Rorya mkoani Mara kubomoa moja ya majengo mapya ya hospitali inayojengwa katika eneo hilo kutokana na kukosewa kwa ramani hatua inayoweza kusababisha hatari ya kuvujisha mionzi yenye athari kwa binaadam wakati wa utendaji kazi wake.

Add a comment

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya limefanikiwa kukamata Silaha moja aina ya SMG na risasi Nne na kuua Mtu Mmoja aliyefaamika kwa jina la Bahati Nyakiha anayedaiwa kuwa jambazi Sugu Mkazi wa Kijiji cha Nyarero  baada ya kurushiana Risasi na Polisi katika Maeneo ya Nkerege Wilayani Tarime Mkoa ni Mara. Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametoa wiki 1 kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Wizara ya Viwanda na Biashara kukamilisha taratibu za uwekezaji kwa kampuni Sugar Investment Trust (SIT) ya Mauritius ambayo imecheleweshwa kuwekeza katika uzalishaji wa sukari tangu mwaka 2017.

Add a comment

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi  amewahimiza Waislamu hasa wanaokaa katika mikoa yenye dhahabu kuondoka katika hali ya kawaida ya kuendeisha dini tupu bali iwe dini na uchumi kwa lengo la kuwa tegemezi lakini kuwa na uchumi imara utatoa fursa ya kujisimamia na kuendesha  miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Add a comment

Waziri Lukuvi aingilia kati Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvi ametatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 15 baina ya wanakijiji wa mkwajuni kata ya vijibweni wilaya ya kigamboni jijini Dar es salaam na mwekezaji kutoka Korea na kuagiza kupitiwa upya kwa mchakato uliosababisha mgogoro huo ili wananchi wa maeneo hayo waweze kupata haki zao.

Add a comment

Hali ya sintofahamu imezuka kwa wakazi wa kata ya Ruhembe wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro  kufuatia  watu 10 wakazi wa kata  hiyo kupotea kwa siku 18 mara baada ya watu hao  kudaiwa kwenda kufanya shughuli za kibinadamu  katika hifadhi ya taifa ya Mikumi kinyume cha sheria na kupotelea huko mpaka sasa .

Add a comment

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Wilison Charles(41)mkazi wa Kijiji cha Kharumwa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita amefariki Dunia na wengine watatu  kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na kifusi cha Udongo katika mgodi usio rasmi uliopo kijiji cha Mwasabuka.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.