Maafisa wa jeshi wa Ukraine wanasema wamefanikiwa kuziangusha ndege kadhaa za kijeshi za Urusi katika kipindi cha saa 24 zilizopita.
Add a commentUrusi imeiomba China usaidizi wa kijeshi pamja na ule wa kiuchumikulingana na ripoti katika magazeti ya Financial Times na lile la New York Times.
Add a commentBei ya mafuta imeelezwa kupanda hadi kiwango cha juu zaidi tangu 2008 baada ya Marekani kusema kuwa inajadili vikwazo vinavyowezekana kwa bidhaa za Urusi na washirika wake.
Brent crude - alama ya kimataifa ya mafuta - ilipanda hadi zaidi ya $139 kwa pipa, kabla ya kurudi chini hadi $130.
Maafisa wa ulinzi wa Ukraine wameonya kuwa Urusi inatayarisha vikosi vyake kufanya mashambulizi ya kila namna kwenye mji mkuu wa Kyiv.
Add a commentWatu wanaoishi katika mji wa kaskazini-mashariki wa Kharkiv wameiambia BBC jinsi inavyokuwa ngumu kuishi chini ya mashambulizi ya anga yanayotekelezwa na Urusi.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.