Star Tv

Maafisa wa jeshi wa Ukraine wanasema wamefanikiwa kuziangusha ndege kadhaa za kijeshi za Urusi katika kipindi cha saa 24 zilizopita.

Add a comment

Urusi imeiomba China usaidizi wa kijeshi pamja na ule wa kiuchumikulingana na ripoti katika magazeti ya Financial Times na lile la New York Times.

Add a comment

Bei ya mafuta imeelezwa kupanda hadi kiwango cha juu zaidi tangu 2008 baada ya Marekani kusema kuwa inajadili vikwazo vinavyowezekana kwa bidhaa za Urusi na washirika wake.
Brent crude - alama ya kimataifa ya mafuta - ilipanda hadi zaidi ya $139 kwa pipa, kabla ya kurudi chini hadi $130.

Add a comment

Maafisa wa ulinzi wa Ukraine wameonya kuwa Urusi inatayarisha vikosi vyake kufanya mashambulizi ya kila namna kwenye mji mkuu wa Kyiv.

Add a comment

Watu wanaoishi katika mji wa kaskazini-mashariki wa Kharkiv wameiambia BBC jinsi inavyokuwa ngumu kuishi chini ya mashambulizi ya anga yanayotekelezwa na Urusi.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.