Star Tv

Mahakama nchini Ukraine imempatia kifungo cha maisha jela kamanda wa kitengo kimoja cha Urusi kwa kumuua raia, katika uamuzi wa kesi ya kwanza dhidi ya uhalifu wa kivita nchini humo.

Mwanajeshi huyo aliyekamatwa, sajenti Vadim Shishimarin amehukumiwa kwa kumuua Oleksandr Shelipov 62, katika Kijiji cha kaskazini mashariki cha Chupakhivka Februari 28, 2022.

Alikiri kumpiga risasi Shelipov lakini akasema alikuwa akifuata amri na kuomba radhi kwa mjane wake.

Moscow imekana kwamba wanajeshi wake waliwalenga raia wakati wa uvamizi wa taifa hilo huku Ukraine ikisema kwamba zaidi ya visa 1000 vya uhalifu wa kivita huenda vilifanyika.

#ChanzoBBC

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.