Mwanamageuzi mkongwe wa Urusi ambaye pia ni mshauri wa Rais Vladimir Putin amejiuzulu katika wadhfa wake.
Add a commentBalozi wa China nchini Marekani anasema kuwa China haitatuma silaha na risasi kusaidia vita vya Urusi nchini Ukraine na kwamba Beijing "itafanya kila kitu ili kupunguza mzozo".
Add a commentBaraza la jiji la Mariupol limesema kuwa vikosi vya Urusi vimeshambulia kwa mabomu shule ambayo imehifadhi watu 400 waliokuwa wakipata hifadhi ndani ya shule hiyo siku ya Jumamosi.
Add a commentUkraine imekataa kusalimisha Mariupol, ikikataa ombi la Urusi la kuacha jiji hilo kufikia makataa ya saa 05:00 saa za Moscow (02:00 GMT)
Add a commentWizara ya Mambo ya nje ya Urusi imetoa taarifa ya kumuwekea vikwazo Rais wa Marekani Joe Biden.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.