Star Tv

Mwanamageuzi mkongwe wa Urusi ambaye pia ni mshauri wa Rais Vladimir Putin amejiuzulu katika wadhfa wake.

Add a comment

Balozi wa China nchini Marekani anasema kuwa China haitatuma silaha na risasi kusaidia vita vya Urusi nchini Ukraine na kwamba Beijing "itafanya kila kitu ili kupunguza mzozo".

Add a comment

Baraza la jiji la Mariupol limesema kuwa vikosi vya Urusi vimeshambulia kwa mabomu shule ambayo imehifadhi watu 400 waliokuwa wakipata hifadhi ndani ya shule hiyo siku ya Jumamosi.

Add a comment

Ukraine imekataa kusalimisha Mariupol, ikikataa ombi la Urusi la kuacha jiji hilo kufikia makataa ya saa 05:00 saa za Moscow (02:00 GMT)

Add a comment

Wizara ya Mambo ya nje ya Urusi imetoa taarifa ya kumuwekea vikwazo Rais wa Marekani Joe Biden.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.