Star Tv

Waziri mkuu wa Uingereza amesema kufanya mazungumzo na Urusi ili kumaliza vita huenda suala hilo lisiwezekane.

Boris Johnson amenukuliwa akisema "kushughulika na Rais Putin wa Urusi ni sawa na kujadiliana na mamba akiwa ameweka mguu wako kwenye taya zake".

Akizungumza na waandishi wa habari akiwa kwenye ndege kuelekea India, Waziri Mkuu wa Uingereza amesema Putin anaweza tu kukubali mazungumzo ikiwa atapata nafasi ya kuongeza nguvu zake nchini Ukraine.

Boris ameonya kuwa kiongozi huyo wa Urusi anaweza kutafuta kuanzisha mashambulizi mapya katika mji mkuu wa Kyiv huko nchini Ukraine.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.