Ikiwa leo ni Siku ya Wauguzi Duniani, Wauguzi nchini wametoa rai kwa wauguzi wote walioko katika hospitali mbalimbali kuwa na kauli nzuri, upendo kwa wagonjwa wanaowahudumia kwakuwa kauli ya muuguzi inaweza kumfariji mgonjwa pamoja na kuthamini utu wa wagonjwa.
Add a commentKamati Kuu ya CHADEMA imewafutia uanachama wabunge wanne wa chama hicho ambao ni Anthony Komu, Joseph Selasini,David Silinde na Wilfred Rwakatare.
Add a commentSerikali imepanga kuweka utaratibu wa kisheria utakaowataka wawekezaji wa Viwanda,Mazao, Bidhaa na Huduma kutotumia nguvu ya soko kuwakandamiza wateja.
Add a commentRead more: SOKO KANDAMIZI KWA WATEJA, SHERIA KULISHUGHULIKIA.
Mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Ukerewe Marehemu Masoud Mohamed ambaye alijozolea umaarufu mkubwa mitandaoni baada ya video zake kusambaa akisoma Quran Tukufu yamefanyika leo alasiri mkoani Tabora.
Add a commentRead more: MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA UPELELEZI WILAYANI UKEREWE WAPUMZISHWA.
Ikiwa leo ni siku ya Wakunga Duniani, Chama cha wakunga Tanzania (TAMA) kimewashauri wakunga wote kuvaa vifaa muhimu vilivyotakaswa hususani wakati huu wa COVID-19 ili kumlinda mama na mtoto dhidi ya maambukizi ya ugonjwa huo.
Add a commentWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amewasili nchini Madagascar kuchukua dawa ya Corona.
Add a commentRead more: DAWA YA CORONA KUTOKA MADAGASCAR YAPOKELEWA NA WAZIRI PROF. KABUDI.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Afya kuwasimamisha kazi mara moja Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya jamii Dkt. Nyambura Moremi na Bwana Jacob Lusekelo ambaye ni Meneja Udhibiti wa ubora ili kupisha uchunguzi.
Add a commentRead more: WATUMISHI WAWILI WA MAABARA YA TAIFA WATAKIWA KUSIMAMISHWA KAZI.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amezindua kituo cha huduma za simu kwa wateja.
Add a commentRead more: KITUO CHA HUDUMA YA SIMU KWA MASUALA YA AFYA CHAZINDULIWA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli amemteua Brigedia Jenerali Dkt. Gabriel Sauli Mhidize kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD).
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.