Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa amelitaka shirika la viwango nchini TBS na tume ya ushindani FCC kuacha kukaa ofisini badala yake wachunguze bei na uzalishwaji wa bidhaa za kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona ili ziweze kupatikana kwa urahisi na kwa bei elekezi.
Add a commentRead more: BEI ZA BIDHAA ZA KUJIKINGA NA CORONA ZAANZA KUCHUNGUZWA.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameonya utoaji taarifa za holela na upotoshwaji kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababisha na virusi vya corona (COVID 19) unaofanywa na watu mbalimbali nchini.
Add a commentRead more: UPOTOSHAJI TAARIFA ZA CORONA WAZIRI MKUU MAJALIWA ATOA ONYO.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameaagiza shule za awali, msingi na sekondari kufungwa pamoja ratiba ya mitahani ya kidato cha sita ambao wanatakiwa kufanya mitihani tarehe 04.05.2020 na amesema ratiba hiyo itafanyiwa marekebisho na wizara ya elimu.
Add a commentRead more: WAZIRI MKUU MAJALIWA AAGIZA SHULE KUFUNGWA KWA SIKU 30.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Selemani Jafo ametoa maagizo kwa wakuu wa wilaya,wakurugenzi na wakuu wa shule nchini,kuhakikisha wanaweka utaratibu mzuri wa usafiri kwa wanafunzi wote ambao wamekosa usafiri wa kurudi nyumbani mara baada ya shule zote kufungwa kufuatia uwepo wa ugonjwa Corona nchini.
Add a commentRead more: WAZIRI JAFO ATOA AGIZO KWA WAKUU WA SHULE NCHINI.
Binadamu wa kwanza kufanyiwa jaribio la chanjo ya kinga dhidi ya virusi vya corona ameanza kufanyiwa jaribio hilo nchini Marekani.
Add a commentRead more: MTU WA KWANZA AJITOLEA KUFANYIWA CHANJO YA CORONA MAREKANI.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la visa viwili vya wagonjwa wenye maambukizi ya virusi vya corona.
Add a commentRead more: VISA VYA CORONA TANZANIA VYAONGEZEKA, VYUO VYATANGAZWA KUFUNGWA.
Waziri wa afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amethibitisha kisa cha kwanza cha mgonjwa mwenye maambukizi ya virusi vya Corona leo Machi 16, 2020 wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Add a commentChama cha Mapinduzi CCM kimesitisha shughuli zenye mikusanyiko ya watu wengi ikiwa ni hatua za kudhibiti kuenea kwa virusi vya Corona.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo Machi 16, 2020 amefuta mbio za Mwenge kwa mwaka huu 2020 hadi pale ugonjwa wa corona utakapoisha.
Add a commentRead more: MBIO ZA MWENGE 2020 ZAFUTWA MPAKA CORONA ITAKAPOISHA.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.