Star Tv

Mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Ukerewe Marehemu Masoud Mohamed ambaye alijozolea umaarufu mkubwa mitandaoni baada ya video zake kusambaa akisoma Quran Tukufu yamefanyika leo alasiri mkoani Tabora.

Mazishi ya Marehemu Masoud mbali na kuhudhuriwa na ndugu, wafanyakazi wenzake na majirani pia baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Dini walihudhuria mazishi hayo akiwemo mwakilishi wa Mufti Mkuu nchini.

Marehemu Masoud ni mmoja wa Maaskari waliobadilishwa vituo vya kufanyia kazi hivi karibuni akitokea kituo cha kazi cha Bunda Mkoani Mara.

Marehemu alikutwa na umauti Mei 08, akiwa hotelini mahali alipofikia wakati ameripoti kwenye kituo chake kipya cha kazi Wilayani Ukerewe ambapo alikuwa akiishi baada yakukosa nyumba na hivyo alikuwa akitekeleza majukumu yake wakati anasubiri kutafutiwa nyumba ya kuishi.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.