Star Tv

Wafanyabiashara wametakiwa kuendesha biashara zao kwa uadilifu na huruma na kamwe wasitumie uwepo wa janga la Covid-19 kuwawekea mazingira magumu wananchi kwa kuwauzia bidhaa kwa bei kubwa hasa kipindi cha mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.

Add a comment

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya ugonjwa huo na sasa waliopona wamefikia 48.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya Wabunge na Waumini wa Kanisa la Mlima wa Moto kufuatia kifo cha Askofu Dkt. Getrude Rwakatare.

Add a comment

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema amethibitisha kutokea kwa vurugu za wagonjwa waliowekwa katika uangalizi ambao walikutwa na maambukizi ya corona katika Hospitali ya Amana wakitaka kutoroka hospitalini hapo na kurejea nyumbani.

Add a comment

Mamlaka ya hali hewa nchini TMA imesema hali ya muonekano wa anga kuwa na rangi nyekundu au chungwa iliyojitokeza mnamo tarehe 16 Aprili katika baadhi ya maeneo ni hali ya kawaida.

Add a comment

Mwili wa aliyekuwa Askofu wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B, Assemblies of God) Dkt. Getrude Rwakatare tayari umepumzishwa katika nyumba ya milele ndani ya viunga vya kanisa hilo jijini Dar es Salaam.

Add a comment

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa taarifa juu ya uwepo wa ongezeko la visa vipya 53 vya ugonjwa wa corona nchini tarifa iliyoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia 147.

Add a comment

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na viongozi wa Dini Nchini imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Corona.

Add a comment

Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania Tanzania (UNFPA na UN WOMEN) yamesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa pamoja chini ya ufadhili wa shirika la Maesndeleo la korea KOICA.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.