Wafanyabiashara wametakiwa kuendesha biashara zao kwa uadilifu na huruma na kamwe wasitumie uwepo wa janga la Covid-19 kuwawekea mazingira magumu wananchi kwa kuwauzia bidhaa kwa bei kubwa hasa kipindi cha mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.
Add a commentWaziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa 37 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya vipimo vya mwisho kuthibitisha kwamba hawana maambukizi ya ugonjwa huo na sasa waliopona wamefikia 48.
Add a commentRead more: WAGONJWA 37 WAPONA CORONA NCHINI, ZANZIBAR YARIPOTI VISA 15 VIPYA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya Wabunge na Waumini wa Kanisa la Mlima wa Moto kufuatia kifo cha Askofu Dkt. Getrude Rwakatare.
Add a commentMkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema amethibitisha kutokea kwa vurugu za wagonjwa waliowekwa katika uangalizi ambao walikutwa na maambukizi ya corona katika Hospitali ya Amana wakitaka kutoroka hospitalini hapo na kurejea nyumbani.
Add a commentRead more: WAGONJWA WA CORONA WALIOTOROKA HOSPITALI YA AMANA WATOLEWA UFAFANUZI.
Mamlaka ya hali hewa nchini TMA imesema hali ya muonekano wa anga kuwa na rangi nyekundu au chungwa iliyojitokeza mnamo tarehe 16 Aprili katika baadhi ya maeneo ni hali ya kawaida.
Add a commentRead more: TMA YAONDOA UTATA ULIOWAKUMBA WANANCHI APRILI 16,2020.
Mwili wa aliyekuwa Askofu wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B, Assemblies of God) Dkt. Getrude Rwakatare tayari umepumzishwa katika nyumba ya milele ndani ya viunga vya kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Add a commentRead more: MAMA RWAKATARE AZIKWA SEHEMU LILIPO KANISA LA MLIMA WA MOTO.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa taarifa juu ya uwepo wa ongezeko la visa vipya 53 vya ugonjwa wa corona nchini tarifa iliyoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia 147.
Add a commentRead more: VISA VYA CORONA VYAFIKA 147 BAADA YA WAGONJWA 53 KUONGEZEKA LEO.
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na viongozi wa Dini Nchini imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Corona.
Add a commentRead more: WAZIRI MKUU KUONGOZA MAOMBI MAALUM YA KITAIFA DHIDI YA CORONA KESHO APRILI 22.
Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania Tanzania (UNFPA na UN WOMEN) yamesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa pamoja chini ya ufadhili wa shirika la Maesndeleo la korea KOICA.
Add a commentRead more: MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA YAINGILIA KATI UKATILI WA KIJINSIA TANZANIA.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.