Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa kilichotokea jijini Dar es Salaam na ametoa pole kwa familia kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Serikali na amesema serikali pamoja na Watanzania wote wanaendelea kuomboleza kifo cha rais huyo.
Add a commentRead more: SERIKALI YAENDELEA KUOMBOLEZA KIFO CHA MZEE MKAPA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ametangaza siku 07 za maombolezo ya kitaifa kuanzia Ijumaa ya leo Julai 24, kufuatia kifo cha rais mstaafu wa awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa kilichotokea Dar es Salaam.
Add a commentKwa mara ya kwanza katika historia, rais wa Gabon, Ali Bongo, amemteua mwanamke, Christiane Ossouka Raponda kuhudumu kama waziri mkuu katika serikali. Ni mwanamke wa kwanza kuteuliwa kwenye nafasi hiyo, baada ya miaka 60 baada ya uhuru wa nchi hiyo.
Add a commentRead more: MWANAMKE WA KWANZA KUSHIKILIA NAFASI YA JUU APATIKANA GABON.
Vijana wa Chama Cha Wananchi CUF Mkoa wa Dar es Salaam wamesema wana imani katika wagombea wote wa upinzani ambao wamepitishwa na vyama vyao kuwania nafasi ya Urais hawamuwezi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi CCM isipokuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Prof Ibrahim Lipumba.
Add a commentRead more: VIJANA CUF WATOA YA MOYONI MWAO JUU YA PROF. LIPUMBA.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Myika, amesema hatagombea ubunge, katika jimbo la Kibamba jijini Dar es Salaam.
Add a commentMwanasiasa wa upinzani nchini Tundu Lissu hii leo amezungumzia kuhusu hatari anayoiona mbele yake wakati huu akitarajia kurejea nchini Tanzania.
Add a commentRead more: ‘NINAREJEA HUKU HATARI DHIDI YANGU IKIWA BADO HAIJAONDOKA’-LISSU.
Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Bernard Membe ni rasmi sasa, amejiunga na chama cha upinzani ACT- Wazalendo.
Add a commentMchakato wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kupata wagombea katika nafasi mbalimbali unaanza leo ambapo mikutano ya ngazi ya wilaya/majimbo itapiga kura za mapendekezo kati ya leo na kesho.
Add a commentRead more: MCHUJO MKALI WA KURA ZA MAONI KWA WAGOMBEA CCM WAANZA LEO.
Upande wa Jamhuri umewasilisha pingamizi la awali mahakamani kupinga maombi yaliyowasilishwa na wadhamini Ibrahim Ahmed na Robart Katula wa mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ukidai kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza na kutaka maombi hayo yatupwe.
Add a commentRead more: UPANDE WA SERIKALI WAPINGA WADHAMINI WA TUNDU LISSU KUJIONDOA.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.