Star Tv

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe tayari amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba 2020.

Add a comment

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa Dkt. John Pombe Magufuli tayari amechukua fomu ya kuwania tena nafasi ya urais.

Add a comment

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeruhusu kuanzia leo safari za ndege za kitalii kuwasili nchini baada ya mambukizi ya virusi vya Corona kupungua.

Add a comment

Rais Magufuli ametangaza kufungua shule zote nchini na shughuli zingine za kijamii zilizokuwa zimesitishwa kutokana na ugonjwa wa COVID-19.

Add a comment

Mipaka miwili ya Tanzania na Kenya eneo la Namanga na Holili imefungwa tena baada ya kuibuka hali ya sintofahamu kuhusu utekelezaji wa makubaliano yaliyowekwa kati ya nchi hizo mbili.

Add a comment

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Mnyika amelitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina na kuwabaini waliomvamia, kumpiga na kumjeruhi mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe akiwa nyumbani kwake Area D Jijini Dodoma.

Add a comment

Chama cha Walimu Tanzania kimesema kinatambua jitihada kubwa ambazo zinafanywa na Serikali katika kuboresha maisha ya watanzania wakiwemo walimu, tunakupongeza pia kwa kuboresha Sekta ya Elimu - Katibu Mkuu wa CWT.

Add a comment

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amevamiwa na kushambuliwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake jijini dodoma.

Add a comment

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wakili Paul Kaunda dhidi ya Spika wa Bunge, Job Ndugai akiomba mahakama hiyo kutengua amri ya Spika kumtambua Cecil Mwambe kama mbunge halali wa Ndada ikisema amekosea kufungua shauri hilo.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.