Star Tv

Viongozi mbalimbali kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Julai 14, wamejitokeza kuchukua fomu za kupata ridhaa ya kuteuliwa kuwa wagombea katika majimbo mbalimbali nchini.

Add a comment

Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus anaonya kuwa hali itaendelea kuwa mbaya zaidi iwapo mataifa mbalimbali duniani hayatachukua hatua zaidi za kukabiliana na virusi hivyo.

Add a comment

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amejiunga Chama cha Mapinduzi (CCM).

Add a comment

Rais Magufuli amemchagua Samia Suluhu Hassan, kuwa mgombea mweza katika Uchaguzi wa Urais wa Tanzania, Oktoba 2020.

Add a comment

Rais Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi kwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Arumeru na Afisa Usalama wa Wilaya hiyo mkoani Arusha kwa kushindwa kutimiza majukumu yao.

Add a comment

Tanzania na China zimeahidi kuendeleza ushirikiano wa kidiplomasia ili kuhakikisha kuwa nchi hizo zinakuwa na maendeleo endelevu.

Add a comment

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam linawashikilia watu 32 watuhumiwa wa wizi wa shilingi Bilioni 2.82 za benki ya NMB wakiwemo wafanyakazi watano wa kampuni ya ulinzi iliyopewa jukumu la kulinda wakati fedha hizo zikihamishwa kutoka tawi la benki hiyo la Mbezi Beach kwenda NMB House Posta Mpya na kutokomea kusikojulikana na gari iliyobeba fedha hizo.

Add a comment

Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM umempitisha Dkt Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais wa Zanzibar baada ya kupata kura 129 sawa na asilimia 78.65 akiwashinda wenzake wawili Shamsi Vuai Nahodha na Dkt. Khalid Salim Mohamed.

Add a comment

Kuelekea Mkutano wa Baraza la Chama na Mkutano Mkuu utakaofanyika Julai 29, Mhe. Tundu Lissu amesema atarudi nyumbani (Tanzania) mwishoni mwa Julai ili kuhudhuria mkutano huo, ambapo katika Mkutano huo ndio utaamua kumpitisha nani atakayepata ridhaa ya kuwania urais mwaka huu kupitia Chama hicho.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.