Viongozi mbalimbali kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Julai 14, wamejitokeza kuchukua fomu za kupata ridhaa ya kuteuliwa kuwa wagombea katika majimbo mbalimbali nchini.
Add a commentRead more: VIONGOZI MBALIMBALI WAJITOSA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE.
Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus anaonya kuwa hali itaendelea kuwa mbaya zaidi iwapo mataifa mbalimbali duniani hayatachukua hatua zaidi za kukabiliana na virusi hivyo.
Add a commentRead more: WHO YAONYA SERIKALI KUCHUKUA HATUA ZAIDI KUKABILIANA NA CORONA.
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amejiunga Chama cha Mapinduzi (CCM).
Add a commentRais Magufuli amemchagua Samia Suluhu Hassan, kuwa mgombea mweza katika Uchaguzi wa Urais wa Tanzania, Oktoba 2020.
Add a commentRead more: RAIS MAGUFULI AMTEUA MAMA SAMIA KUWA MGOMBEA MWENZA.
Rais Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi kwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Arumeru na Afisa Usalama wa Wilaya hiyo mkoani Arusha kwa kushindwa kutimiza majukumu yao.
Add a commentRead more: RAIS MAGUFULI AWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA POLISI, AFISA USALAMA KWA UZEMBE.
Tanzania na China zimeahidi kuendeleza ushirikiano wa kidiplomasia ili kuhakikisha kuwa nchi hizo zinakuwa na maendeleo endelevu.
Add a commentJeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam linawashikilia watu 32 watuhumiwa wa wizi wa shilingi Bilioni 2.82 za benki ya NMB wakiwemo wafanyakazi watano wa kampuni ya ulinzi iliyopewa jukumu la kulinda wakati fedha hizo zikihamishwa kutoka tawi la benki hiyo la Mbezi Beach kwenda NMB House Posta Mpya na kutokomea kusikojulikana na gari iliyobeba fedha hizo.
Add a commentRead more: WALIOIBA BILIONI 02.82 ZA NMB TAYARI MIKONONI MWA POLISI.
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM umempitisha Dkt Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais wa Zanzibar baada ya kupata kura 129 sawa na asilimia 78.65 akiwashinda wenzake wawili Shamsi Vuai Nahodha na Dkt. Khalid Salim Mohamed.
Add a commentRead more: Breaking News: DKT HUSSEIN MWINYI APITISHWA KUWA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR.
Kuelekea Mkutano wa Baraza la Chama na Mkutano Mkuu utakaofanyika Julai 29, Mhe. Tundu Lissu amesema atarudi nyumbani (Tanzania) mwishoni mwa Julai ili kuhudhuria mkutano huo, ambapo katika Mkutano huo ndio utaamua kumpitisha nani atakayepata ridhaa ya kuwania urais mwaka huu kupitia Chama hicho.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.