Waziri wa Wizara ya Afya Ummy Mwalimu ametangaza kuwepo kwa ongezeko la visa 14 vipya vya wagonjwa wa corona nchini leo Aprili 13,2010.
Add a commentRead more: VISA VIPYA 14 VYA WAGONJWA WA CORONA VYAGUNDULIKA NCHINI.
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ametoa taarifa ya uwepo wa ongezeko la wagonjwa wanne wa Corona ambapo watu hao wamepatikana Dar es Salaam, Mwanza , Kaskazini Magharibi mwa Tanzania na visiwani Zanzibar na kufikisha idadi watu 24 walio na maambukizi ugonjwa huo nchini.
Add a commentRead more: WAGONJWA WAPYA WANNE WABAINIKA KUWA NA MAAMBUKIZI NCHINI.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amethibitisha kifo cha mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 hapa nchini, ambaye ni Mtanzania kilichotokea alfajiri ya leo Machi 31,2020 katika kituo cha matibabu ya wagonjwa wa COVID-19 kilichopo Mlonganzila jijini Dar-es-Salaam.
Add a commentWaziri wa Afya nchini Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa mwingine aliyekuwa na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19) nchini amepona.
Add a commentRead more: WAZIRI UMMY ATHIBITISHA KUPONA KWA MGONJWA MMOJA WA COVID-19.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ameitaka Ofisi ya CAG kufanya kazi kwa bidii na weledi pasipo kuogopa na kutishwa na awaye yeyote yule.
Add a commentRead more: RAIS MAGUFULI:OFISI YA CAG FANYENI KAZI MSITISHWE.
Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Habari , Dokta Hassan Abbas amesema tayari serikali imepokea Dola Milioni 500 kama mkopo kutoka benki ya dunia ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuendeleza sekta ya elimu.
Add a commentRead more: TANZANIA YAPATA NEEMA TENA KUTOKA BENKI YA DUNIA.
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania TRC wamefariki kwa ajali ya treni ya uokoaji iliyogongana na Kiberenge Na. HDT-3 katika eneo lililopo kati ya Stesheni ya Mwakinyumbi na Gendagenda katika reli inayotoka Ruvu Junction mpaka Mruanzi Junction, tarehe 22 Machi 2020.
Add a commentSpika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai amesema utaratibu wa maswali na majibu katika bungeĀ la 11 yatajibiwa kwa utaratibu wa maandishi kwa kutumia teknolojia ya simu za viganjani zilizo na mfumo wa kibunge.
Add a commentRead more: MASWALI NA MAJIBU KATIKA BUNGE LA 11 KUJIBIWA KWA MAANDISHI NA SIO PAPO KWA PAPO.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema mpaka watu idadi a wagonjwa wa virusi vya Corona wamefikia 12.
Add a commentRead more: WAGONJWA WA CORONA TANZANIA WAONGEZEKA NA KUFIKIA12.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.