Star Tv

Wakati Dunia ikipambana na kukabiliana na kuenea kwa virusi vya Corona kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuzuia mikusanyiko kwa kufunga shule na baadhi ya Taasisi, Wazazi na Walezi mkoani Njombe wamelalamikiwa kwa madai ya kuwatumikisha watoto katika kipindi hiki ambacho shule zimefungwa.

Add a comment

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anasikitika kutangaza kifo cha Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt.Augustine Mahiga (Mbunge) kilichotokea leo Alfajiri tarehe 01 Mei,2020. Jijini Dodoma.

Add a comment

Mkutano wa Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini aliokuwa akifanya na waandishi wa habari jijini Dodoma umezuiwa na polisi.

Add a comment

Mbunge wa jimbo la Sumve maarufu kama Seneta kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Richard Mganga Ndassa amefariki dunia leo Aprili 29, 2020.

Add a comment

Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhan amefariki Duni leo saa mbili asubuhi katika Hospitali ya Agha Khan iliyopo Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Add a comment

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa taarifa ya mwenendo wa Ugonjwa wa Corona nchini leo Aprili 29,2020, ambapo amesema kuwa kuna maambukizi mapya ya ugonjwa huo kwa Watanzania 196.

Add a comment

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa amesema mazishi ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Mtwara Evodi Mmanda yatafanyika Mtwara na kuhudhuriwa na watu wasiozidi kumi tu.

Add a comment

Wizara ya Afya ya Zanzibar imetoa taarifa ya mwenendo wa Corona nchini leo Aprili 28, 2020 ambapo watu 7 ambao ni raia wa Tanzania kutokea Unguja wamekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona.

Add a comment

Mkuu wa mkoa wa Mara Adam Malima ameviagiza vyombo vya Dola kuwakamata wazazi wanaohatarisha maisha ya watoto wao dhidi ya maambukizi ya corona kwa kuwatuma kununua mahitaji sokoni au maeneo yenye mikusanyiko ya watu.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.