Wakati Dunia ikipambana na kukabiliana na kuenea kwa virusi vya Corona kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuzuia mikusanyiko kwa kufunga shule na baadhi ya Taasisi, Wazazi na Walezi mkoani Njombe wamelalamikiwa kwa madai ya kuwatumikisha watoto katika kipindi hiki ambacho shule zimefungwa.
Add a commentRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anasikitika kutangaza kifo cha Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt.Augustine Mahiga (Mbunge) kilichotokea leo Alfajiri tarehe 01 Mei,2020. Jijini Dodoma.
Add a commentRead more: TANZIA:WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AMEFARIKI DUNIA.
Mkutano wa Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini aliokuwa akifanya na waandishi wa habari jijini Dodoma umezuiwa na polisi.
Add a commentRead more: MKUTANO WA MBUNGE SELASINI WAKUTANA NA KIZINGITI.
Mbunge wa jimbo la Sumve maarufu kama Seneta kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Richard Mganga Ndassa amefariki dunia leo Aprili 29, 2020.
Add a commentRead more: TANZIA:MBUNGE WA SUMVE AFARIKI DUNIA, BUNGE LIMEAHIRISHWA KWA LEO.
Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhan amefariki Duni leo saa mbili asubuhi katika Hospitali ya Agha Khan iliyopo Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Add a commentRead more: JAJI MKUU MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHAN AFARIKI DUNIA.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa taarifa ya mwenendo wa Ugonjwa wa Corona nchini leo Aprili 29,2020, ambapo amesema kuwa kuna maambukizi mapya ya ugonjwa huo kwa Watanzania 196.
Add a commentRead more: WAGONJWA WA CORONA NCHINI WAFIKA 480,VIFO 16, WALIOPONA 167.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa amesema mazishi ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Mtwara Evodi Mmanda yatafanyika Mtwara na kuhudhuriwa na watu wasiozidi kumi tu.
Add a commentRead more: MAZISHI YA DC MMANDA KUFANYIKA MTWARA NA YATAHUDHURIWA NA WATU 10.
Wizara ya Afya ya Zanzibar imetoa taarifa ya mwenendo wa Corona nchini leo Aprili 28, 2020 ambapo watu 7 ambao ni raia wa Tanzania kutokea Unguja wamekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona.
Add a commentRead more: ZANZIBAR YAGUNDUA VISA VIPYA 7 VYA CORONA,WAGONJWA WAFIKA105.
Mkuu wa mkoa wa Mara Adam Malima ameviagiza vyombo vya Dola kuwakamata wazazi wanaohatarisha maisha ya watoto wao dhidi ya maambukizi ya corona kwa kuwatuma kununua mahitaji sokoni au maeneo yenye mikusanyiko ya watu.
Add a commentRead more: VYOMBO VYA DOLA KUWASHUGHULIKIA WAZAZI WANAOTUMA WATOTO SOKONI.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.