Wizara ya mambo ya ndani kupitia idara ya uhamiaji mkoani Mtwara kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi (JWTZ) imewakamata wahamiaji 67 wasiofata sheria na wenye uraia wa nchini Ethiopia.
Add a commentButiama inayotajwa kuwa moja ya vivutio vikubwa vya utalii nchini imeonekana kutelekezwa ambapo miundombinu isiyokidhi na uhaba wa maji vinatajwa kulikabili eneo hilo.
Add a commentWatu zaidi ya 236 wameugua Kipindupindu kwa kipindi cha zaidi ya Mwezi mmoja tangu Ugonjwa huo uingie katika Wilaya za Mbarali na Chunya Mkoani Mbeya na sasa umelipuka katika Wilaya ya Songwe na Momba mkoani humo.
Add a commentKatika kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano inayohimiza uchumi wa viwanda, jeshi la Polisi nchini limetakiwa kuwahimiza askari wake kujikita katika masuala ya ujasiriamali ili kuyafikia maendeleo yanayotokana na biashara kwa kupatiwa mafunzo na elimu ya ujasiramali.
Add a commentChama cha Mapinduzi CCM kimewataka wanachama wake kutambua kuwa bila kujiimarisha kiuchumi kitakuwa na wakati mgumu wa kujiendesha hasa katika kipindi hiki cha kuelekeza uchumi wa kati.
Add a commentMkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza amezindua rasmi programu maalum ya kuweka virutubishi katika unga wa mazao mbalimbali ikiwemo mahindi.
Add a commentJumla ya wakala wa forodha 50 wanaotarajiwa kutoa mafunzo kwa mawakala wa forodha visiwani Zanzibar wamekabidhiwa vyeti vya kiwango cha Afrika mashariki cha utoaji wa huduma za uwakala mara baada ya kuhitimu mafunzo hayo yaliotolewa na wataalamu wa ITA.
Add a commentWanafunzi wa shule ya msingi Ludewa Mjini Mkoani Njombe wanatumia vyoo vya wavulana vilivyojaa baada ya waalimu wao kuvijaza maji na Chumvi ili kupunguza ujazo wa kinyesi katika vyoo hivyo ili waendelee kuvitumia.
Add a commentRead more: Waalimu kujaza maji na chumvi kwenye vyoo vya wanafunzi ili kupunguza kinyesi.
Pamoja na mikoa ya kanda ya Kaskazini kuwa na utajiri wa mifugo hususan Ng’ombe, inaelezwa kuwa kuna idadi ndogo ya wafugaji wanaotumia kinyesi cha mifugo hiyo kama nishati mbadala, yaani BIOGAS.
Add a commentNaibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, ameitaka Bodi ya mfuko wa Barabara (RfB) kutumia vifungu [ ... ]
Kenya inatarajia kupokea dozi milioni 24 za chanjo ya ugonjwa corona iliyotengenezwa na kapuni ya Astrazeneca na chuo ki [ ... ]
Rais mteule wa Marekani Joe Biden aliwasili Washington katika mkesha wa sherehe ya kuapishwa kwake, wakati mtangulizi wa [ ... ]
Copyright © 2021 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.