Rais wa zamani wa Afrika Kusini anayetumikia kifungo Jacob Zuma amefanyiwa upasuaji na bado yuko hospitalini, maafisa wa magereza wanasema.
Add a commentKiongozi wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema ameibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa Urais.
Add a commentRais wa Malawi Lazarus Chakwera amewafuta kazi Waziri wa Nishati na mkuu wake wa watumishi ambao wanakabiliwa na mashtaka ya ufisadi.
Add a commentWafuasi wa mgombea wa upinzani wa Zambia Hakainde Hichilema wameanza kusherehekea wakati matokeo ya kwanza yaliyotolewa leo Jumamosi na tume ya uchaguzi yakionyesha kuwa kiongozi huyo wa upinzani anaongoza.
Add a commentMwanamume anayetuhumiwa kujaribu kumdunga kisu Rais wa mpito wa Mali, Assimi Goïta, wiki iliyopita amekufa hospitalini akiwa chini ya ulinzi, serikali inasema.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.