Mwenyekiti wa Ngome ya Wazee wa Chama cha ACT Wazalendo Wilson Mushumbusi ameiomba Serikali kuunda Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi itakayosimamia uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu kwa kuzingatia misingi ya haki na demokrasia.
Taarifa na Rachel Dickson.
Add a commentWafanyabiashara wa maduka makubwa ya mavazi na vifaa vingine maeneo ya Kariakoo jijini Dar es salaam wameingiwa na hofu ya kushindwa kurejesha mikopo waliyokopa kutoka taasisi za fedha kutokana na kuwepo kwa zuio la kusafiri kwenda china kununua bidhaa baada ya kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.
Taarifa na Athuman Mihula.
Add a commentRead more: CORONA YASABABISHA BIDHAA KUWA ADIMU SOKO LA KARIAKOO.
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania TEC Padre Dokta Charles Kitima amesema kipindi cha kwaresima ni fursa ya kujitafakari na kumpa Mungu nafasi ya kwanza katika maisha pamoja na kutambua nafasi ya Mwenyezi Mungu kwa maisha ya kila siku kwa wakristo na wasio wakristo.
Taarifa na Piensia Rugarabamu
Add a commentViongozi mkoani Tabora wameiomba serikali kuhakikisha inawakamata watu waliohusika katika tukio la mauaji ya Diwani wa Kata ya Usunga Alfed Masamalo wilayani Sikonge mkoani Tabora.
Taarifa na Sunday Kabaye
Add a commentRead more: AGIZO LATOLEWA KWA WALIOHUSIKA NA MAUAJI YA DIWANI.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga machi 10, 2020 kutoa hukumu ya kesi inayowakabili viongozi nane wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe.
Add a commentRead more: KESI YA MBOWE NA WENZIE SABA BADO NI KITENDAWILI.
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Happiness Israel anadaiwa kupigwa risasi ya paja na mpenzi wake Salum Athman chanzo kikiwa bado hakijajulikana.
Tukio hilo limetokea katika Hoteli ya Kilimanjaro Mtaa wa Nyamalembo Mjini Geita ambapo wapenzi hao walichukua chumba na kukaa hapo kwa siku mbili.
Taarifa na Salma Mrisho.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imemuachia huru mwandishi wa habari Erick Kabendera baada ya kulipa faini ya shilingi 250,000 kwa kosa la kukwepa kodi na shilingi milioni 100 kwa kosa la kutakatisha fedha.
Add a commentRead more: TABASAMU LA KABENDERA BAADA YA MIEZI SITA NA ZAIDI MAHABUSU.
Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam imemuhukumu Meneja Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Merkezi inayojenga reli ya kisasa ya SGR kulipa faini ya shilingi milioni 100 au kwenda jela miaka mitatu.
Taarifa na Adam Damian.
Add a commentRead more: MENEJA KAMPUNI YA YAPI AKUTANA NA HUKUMU YA KISUTU.
Wataalamu wa afya ya Mifugo waliopewa dhamana na serikali wametakiwa kusimamia misingi ya kisheria na kuweka pembeni imani zao ili kuepuka ubaguzi wakati wa kutoa huduma kwa wafugaji.
Taarifa na Omary Hussein-MOROGORO
Add a commentRead more: WATAALAMU WA AFYA YA MIFUGO WAASWA KUTOA HUDUMA BILA UBAGUZI.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.