Maafisa usafirishaji na wafanya biashara wadogo wa kituo cha mabasi Halmashauri ya mji wa Makambako wameiomba halmashauri kuchukua hatua za haraka kufanya ukarabati wa Kituo hicho, ili kuepusha hasara na mlipuko wa magonjwa yanayoweza kujitokeza kutokana na ubovu wa miundombinu ya kituo hicho.
Taarifa na Dickson Kanyika
Add a commentRead more: MIUNDOMBINU MIBIVU YAWAKOSESHA RAHA MADEREVA NA WAFANYABIASHARA.
Naibu waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mwita Waitara amemwagiza Mkuu wa Wilaya kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuhakikisha wanamkamata Chacha Magitha Mkazi wa Kebikiri Mjini Tarime kwa tuhuma za kuuza eneo la Umma kinyume na Taratibu.
Add a commentRead more: MWENYEKITI FEKI ALIYEUZA ENEO LA UMMA, WAITARA ATOA AGIZO AKAMATWE.
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein amewataka mawaziri wanaoshiriki mkutano wa kwanza wa SADC kuhakikisha wanapitisha mikakati imara itakayoweza kuondoa ama kupunguza madhara ya majanga.
Taarifa na Abdalla Pandu.
Add a commentRead more: MAJANGA YALIYOKUWA YAKIZIKUMBA NCHI ZA SADC SASA BASI.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amemuagiza Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani humo Kamishina Msaidizi wa Polisi Mugabo Wekwe kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa vituo vya Pangawe na Kingolwira.
Add a commentRead more: RUSHWA KUTOKA KWA WAFUGAJI YAWAPONZA POLISI MOROGORO.
Baadhi ya waumini wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar wamesema hawana imani na uongozi wa Askofu wao Michael Hafidh kwa kile walichodai kuwa matendo yake hayaendani na sifa za cheo alichonachoikiwemo suala la ubadhrifu .
Taarifa na Abdalla Pandu-Zanzibar.
Add a commentPolisi Mkoani Morogoro wamegundua mfumo mpya unaotumika kusafirisha madawa ya kulevya kwa njia ya pikipiki na tayari watu wanne wanashikiliwa na polisi kwa kosa hilo.
Taarifa na Peter Laurence
Add a commentRead more: DAWA ZA KULEVYA ZASHIKILIWA ZIKISAFIRISHWA KWA MFUMO MPYA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametoa ahadi ya kuwaajiri madaktari 1000 katika vituo vya afya pamoja na hospitali zilizopo nchini.
Add a commentUpande wa mashtaka katika kesi ya uchochezi inayomkabili aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu umeomba muda wa kutosha kupitia na kujibu maombi ya kujitoa kwa wadhamini wa makamu mwenyekiti huyo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Taarifa na Angela Mathayo.
Add a commentRead more: KESI YA UCHOCHEZI YA TUNDU LISSU YAENDELEA KUPIGWA KALENDA.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya awamu ya saba itakamilisha ujenzi wa kiwanda cha Mwani kisiwani Pemba kama ilivyowaahidi wananchi wake.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.